Saturday, October 1, 2011

NAFASI ZA MASOMO ZANZIBAR S.D.A NURSERY SCHOOL

Mpeleke mtoto wako katika shule nzuri ya awali iliyopo mjini Zanzibar ili mtoto wako apate malezi mazuri yenye kujenga ufahamu wa elimu dunia na elimu bora ya dini. Watoto wa dini zote wanapokelewa

JENGO LA SHULE YA AWALI YA ZANZIBAR S.D.A NURSERY SCHOOL

JENGO LA SHULE LIONEKANAVYO KWA MBELE

NAFASI KUBWA YA UWANJA, SEHEMU MUHIMU KWA MAZINGIRA YA KUFUNDISHIA WATOTO WADOGO

SEHEMU YA UPANUZI WA JENGO HILO

Kanisa la Zanzibar limepiga hatua kwa kujijengea shule yake ya awali ya kufundishia watoto wa chekechea. 
Shule hiyo imeajiri mwalimu mkuu na timu yake wenye taaluma ya ualimu.
Njozi ya kanisa hilo ni  kupanua shule hiyo ili kiweze kuanza na kutoa elimu ya msingi.


Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Mkuu wa shule: Mwalimu Moses Obunde simu : 0658-664544 ; barua pepe: onyangojunior@hotmail.com
Mchungaji mtaa wa Zanzibar Pr. Bunga  0789-866666; barua pepe: bdettu@yahoo.co.uk

No comments:

Post a Comment